Habari zilizoyujia hivi punde zimethibitisha kutokea kwa tukio hilo maeneo ya mlima nyoka ambapo watu wenye hasira walichukua sheria mkoni kwa kuwafunga, kupiga na kisha kuwachoma moto hadi mauti yalipowakuta watu wawili kwa madai ya kuiba boda boda.
Miili ya Marehemu ikiwa imetelekezwa katika mlima nyoka.
Baadhi ya mashuhuda akiwemo mwenyekiti wa Bajaji wa pili kushoto na watatu mwenye begi mgongoni mwenyekiti wa Bodaboda wakiwa eneo la tukio Mlima Nyoka
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment