Friday, January 10, 2014

Breaking:Watu wawili wapigwa na kuchomwa moto kwa kudaiwa kuiba boda boda eneo la mlima Nyoka Mbeya; Samahani picha zinatisha


Habari zilizoyujia hivi punde zimethibitisha kutokea kwa tukio hilo maeneo ya mlima nyoka ambapo watu wenye hasira walichukua sheria mkoni kwa kuwafunga, kupiga na kisha kuwachoma moto hadi mauti yalipowakuta watu wawili kwa madai ya kuiba boda boda.

 Miili ya Marehemu ikiwa imetelekezwa katika mlima nyoka.


  
Baadhi ya mashuhuda akiwemo mwenyekiti wa Bajaji wa pili kushoto na watatu mwenye begi mgongoni mwenyekiti wa Bodaboda wakiwa eneo la tukio Mlima Nyoka


Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top