Wednesday, December 10, 2014

PICHA ZA NUSU UTUPU ZA KAJALA ZAZUA SINTOFAHAMU MTANDAONI.JIONEE HAPA!

 Akionekana mwenye furaha kwa tabasamu na pozi mbalimbali maeneo ya ufukweni , Kajala Masanja  ambae ni muigizaji na mkurugenzi wa K entertainments, aliziweka picha zake hizi mtandaoni na kuandika:

“Wee unaniona hapa me najiona mbaaaaali”

akiashilia kuwa mwenye furaha na amani tele.


Kilichofanya nizilete hapa ni likes na  comments za  ‘Followers’ wake ambao kwa kwa muda wa chini ya nusu saa picha (hiyo aliotupa mgongo) ilipata “Likes” zaidi ya  elfu tatu na Comments zaidi ya  mia tano. watu wakimsifia kwa umbo na mvuto alionao na hasa vidume wengi wakionyesha kupagawa zaidi na uumbaji huu.

WOLPER AWAPIKU MASTAA BONGO MOVIE.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online