Wednesday, November 12, 2014

PICHA ZINATISHA; KIBAKA ACHOMWA MOTO BAADA YA KUBAMBWA AKIIBA MALI ZA ABIRIA BAADA YA AJALI KAHAMA.



Kibaka baada ya kuchomwa moto.

Wananchi wakishuhudia kibaka akichomwa moto.

KIJANA mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa kwa kuchomwa moto wakati akiwaibia abiria walipata ajali na basi la Wibonela leo asubuhi maeneo ya kona ya Phantom, Kahama.

Kibaka huyo ameuawa na watu wenye hasira kali waliofika eneo la ajali kutoa msaada kwa abiria.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online