Monday, October 20, 2014

MTI ULIOANGUKA NA KUCHOMWA MOTO MIAKA 3 ILIYOPITA WASIMAMA GHAFLA.

NI MAAJABU MKOANI TABORA,WILAYA YA UYUI,KATA YA UFULUMA KIJIJI CHA MFUTO..Ni mti ulioanguka na kuchomwa moto miaka 3 iliyo pita sasa wainuka na kusimama  wananchi wakaamua kuukata na kuchukua vipande vya mti huo kwa imani za kishirikina {kizimba}.Na maajabu mengine yakatokea ulipomalizwa mti na kubaki shimo ndani ya shimo pakawa na vitu vya thamani kama pesa nyingi,pingu za mjerumani n.k.Vilivyotumiwa na watu wa zamani.Watu wakachukua na kufanya shimo hilo kubaki jeupe,na hapo ndipo shimo hilo lilipoamua kuanza kulia kama binadamu.

Gambian Bigamist arrested for having 4 wives, 7 fiancées & 5 Grlfriends.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top