Saturday, October 25, 2014

MAJUTO, AMMIMINIA MABUSU MSANII ; KIBONGO BONGO WADAU WANASEMA SI BURE; JUA KINACHOENDELA KATI YAAO HAPA.

MH! Mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athuman ‘King Majuto’ ameibua utata wa aina yake baada ya kunaswa na msanii wa filamu aitwaye Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ wakimiminiana mabusu motomoto.

Mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athuman ‘King Majuto’ akipokea busu tata kutoka kwa msanii wa filamu Sabrina Omary ‘Sabby Angel’.

Akizungumza na paparazi wetu mara baada ya kukutwa maeneo ya Sinza jijini Dar na kupigwa picha hizo, Sabby alisema walikutana ghafla na Majuto, wakafurahi na kujikuta wanabusiana lakini hawakumaanisha mapenzi.‘King Majuto’ naye akirejesha busu kwa ‘Sabby Angel’

“Jamani busu la mzee Majuto nimelipenda sana si unajua mwenyewe anavyochekesha sasa pata picha anakupiga busu, binafsi nampenda sana mzee Majuto, nikionana naye kama hivi ananipa raha sana,” alisema Sabby Angel.


MGOMBEA 2015 ANASWA NA DENTI DOGO DOGO KABISA AKIMNANILII GESTI; PICHA LIVE ZA TUKIO HIZI HAPA.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online