Thursday, October 23, 2014

MAHABA NIUE YAMFICHA SNURA YAANI NI NDANI TU WAKI.....


MAHABAT! Kuonesha kwamba mahaba yamemkolea, staa wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mamaa Majanga’ amedaiwa kukacha shughuli za muziki na kutumikia penzi lake kwa mahaba motomoto.Staa wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mamaa Majanga’ akiwa na mwandani wake, DJ Hunter.

Kudhihirisha hilo, chanzo chetu kimevujisha picha za mrembo huyo akiwa na mchumba wake anayefahamika kwa jina moja la DJ Hunter wakiwa katika malovee mazito kwa kupigana mabusu.

“Yani Snura sasa hivi muziki ameuweka pembeni anatumikia mahabati mwanzo mwisho,” kilidokeza chanzo chetu.

Meneja wa Snura, Mohamed Kavu ‘HK’.

Jitihada za kumpata msanii huyo kuzungumzia ukimya wake kwenye gemu hazikuzaa matunda lakini meneja wake, Mohamed Kavu ‘HK’ amekuwa akisisitiza kuwa msanii wake huyo yupo nchini Afrika Kusini katika shughuli za kimuziki huku pia kukiwa na madai kuwa msanii huyo ni mjamzito tarifa ambazo pia zinakanusha na HK.

ROSE NDAUKA ANASWA AKIPAPALIKIA PENZI LA T.I.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top