Sunday, October 5, 2014

Chelsea 2-0 Arsenal: Hazard & Costa make easy work of lacklustre Gunners.


Ile mechi ya kuamua nani mbabe wa jiji la London kati ya Chelsea dhidi ya Arsenal imemalizika muda mfupi uliopita.
Matokeo kwenye mchezo huo uliokuwa na kashi kashi nyingi ukiwemo ugomvi wa kushikana mashati wa Wenger dhidi ya Mourinho – ni ushindi wa 2-0 kwa Chelsea.
Eden Hazard alianza kuiadhibu Arsenal kipindi cha kwanza baada ya kufunga mkwaju wa penati baada ya kufanyiwa madhambi na Koscienly.
Kipindi cha pili katika dakika za mwishoni Diego Costa alipokea pasi nzuri kutoka kwa Cesc Fabregas na akaifungia Chelsea goli la pili na kuhitimisha ushindi huo dhidi ya Gunners.

Kim K And Her Daughter North Step Out In Matching Ripped Denim



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top