Wednesday, September 10, 2014

UMEIPATA HII YA SHAKIRA KUWA NA UJAUZITO TENA WA PIQUE??? HII HAPA.


Ni kweli kwamba mwimbaji Shakira anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili? jibu ni ndio… na hii imethibitishwa na mama yake mzazi.

Female gang member tells schoolgirl raped in alleyway that "snitches get stitches", court hears.

Gazeti la Hola la Hispania limeripoti kwamba mama mzazi wa mwimbaji huyu ndio kaongea na kusema mjukuu wake ajae ni mtoto mwingine wa kiume.


 Shakira ana umri wa miaka 37 sasa hivi na siku yake ya kuzaliwa ni February 2… ni mke wa mchezaji staa wa soka Gerard Piqué ambapo huyu atakua mtoto wao wa pili baada ya yule wa kwanza wa kiume pia.

Shakira mwenyewe alitangaza kuwa na ujauzito wiki ile iliyopita akiwa bado kwenye ndoa na staa kutoka Barcelona FC Gerard Pique mwenye umri wa miaka 27.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

MAMA WA FEZA ALI MANUSURA AUAWE NA MAJMBAZi;

PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top