Thursday, September 4, 2014

Pichaz nyingine za harusi ya Angelina Jolie na Brad Pitt!.

 Ilikua ni ndoa ambayo walifunga kwa siri, yani bila kuitangaza kwenye vyombo vya habari ambapo ishu nzima ilifanyika nchini Ufaransa na kuhudhuriwa na watu 22 peke yake.


Mmoja wa watu wao wa karibu amesema wawili hawa kwa sasa wako serious kuhusu uhusiano wao na kuishi pamoja maishani na siku hizi hawana mikwaruzo ya mara kwa mara kama zamani na wanampango wa kubadilisha majina na kuitwa Jolie-Pitt.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top