Tuesday, September 2, 2014

MWANAMKE AGONGWA NA DALADALA UBUNGO MAJI ASUBU YA LEO.

 Raia wakijaribu kuokoa maisha ya dada aliyegongwa na gari (daladala) maeneo ya Ubungo maji wakati akivuka bara bara.


Majeruhi (dada huyo) akichukuliwa kwenye gari na wasamaria wema.

HiIi ndilo gari aina ya Toyota Coaster lenye namba za usajili T454 BBV lililomgonga dada huyo.

Mwanamke mmoja (jina halijafahamika) aliyekuwa anavuka barabara ya Morogoro maeneo ya Ubungo maji kutoka ng'ambo ya tank na kuelekea upande wa Tanesco amegongwa na gari ya daladala aina ya Toyota Coaster lililodaiwa kuvunja sheria likiwa  linapita kwenye barabara ya magari ya mwendo kasi.

CHAMA CHA MAPINDUZI UK CHAPATA MWENYEKITI MPYA.

Katika ajali hiyo dereva wa basi(daladala) hakupatikana kwani alikimbia baada ya ajali.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

MUME ASIMULIA JINSI ALIVYOFANYIWA USODOMA : KILICHOTOKEA NI HATARI TUPU.


PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top