Saturday, September 6, 2014

KOLETA AJAZA MATAMBARA TUMBONI KISA AWADANGANYE MASHOGA ZAKE ANA UJAUZITO SASA AMEUMBUKA.

KITUKO! Msanii wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ ametoa kali ya aina yake kwa kusema anapenda ujauzito kiasi cha kufikia hatua ya kujaza matambara tumboni ili awe na muonekano wa mjamzito.

Msanii

Akizungumza na paparazi wetu, Koleta alisema kwa jinsi anavyopenda ujauzito, akimuona mwanamke yeyote mjamzito anamfuata na kuzungumza naye hata kama hamfahamu na kama yuko jirani ataenda kukaa naye.


“Sijui kwa nini na kuna wakati mwingine naweka matambara  tumboni naweza kuzunguka nayo siku nzima kama mama mjamzito yaani huwa najicheka mwenyewe,” alisema Koleta huku akidai akitokea mwanaume watakayeendana basi atambebea ujauzito.
Staa wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

PICHA MBALIMBALI ZA WAREMBO WAKISOMALi WANAOSADIKIKA KUTUMIWA NA AL SHABABU KUWARUBUNI WANUME WAJIUNGE NAO.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top