Msanii
Akizungumza na paparazi wetu, Koleta alisema kwa jinsi anavyopenda ujauzito, akimuona mwanamke yeyote mjamzito anamfuata na kuzungumza naye hata kama hamfahamu na kama yuko jirani ataenda kukaa naye.
“Sijui kwa nini na kuna wakati mwingine naweka matambara tumboni naweza kuzunguka nayo siku nzima kama mama mjamzito yaani huwa najicheka mwenyewe,” alisema Koleta huku akidai akitokea mwanaume watakayeendana basi atambebea ujauzito.
Staa wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’.


0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment