Thursday, September 18, 2014

Breaking News:: MSIKITI WA HINDU DAR WATEKETEA KWA MOTO.

  Kikosi cha zima moto kikifanya juhudi za kuzima moto huo.

Picha juu na chini ni sehemu ya chumba cha msikiti kilichoungua.


Wananchi wakiwa katika eneo la tukio wakisaidia kuokoa baadhi ya mali zilizopo ndani ya msikiti.

Baadhi ya mali zilizookolewa.Baadhi ya waumini wakiwa eneo la tukio.


MSIKITI wa madhehebu ya Wahindu uliopo maeneo ya Mtaa wa Kibasila karibu na shuleya  Olimpia jijini Dar es Salaam, umeteketea kwa moto  leo asubuhi ambapo baadhi ya mali zimeungua na mtu mmoja kukimbizwa hospitali kutokana na mshituko.

Akizungumza na mtandao huu, shuhuda mmoja alisema moto huo umesababishwa na shoti ya umeme iliyoanzia kwenye mashine ya luku ambapo baadhi ya waumini walikuwa wakijiandaa  kuupamba msikiti huo kwa ajili ya kusherekea  na sikuku ya Idd el Haj.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top