
Aliyekuwa mfanyakazi wa Bilionea Lake Oil, Ally Edna Awadh aliyejeruhiwa na boss wake.
Masogange Releases Another Killing Photo to Attact you for her Business that Shows Off Her Blessed Assets.
Chanzo chetu cha kuaminika kimesema kuwa mara baada ya kujisalimisha, tajiri huyo alihojiwa na maofisa wa polisi kuhusu sakata lake na maelezo yake kunakiliwa. Hata hivyo, haikujulikana mara moja kama aliachiwa kwa dhamana ya masharti gani.“Kwa sasa jalada la kesi hiyo limeshaandaliwa tayari kwa kulipeleka ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) na baada ya hapo suala hilo linaweza kupelekwa mahakamani,” alisema Mngulu.
KWA WATU WAZIMA TU; CORAZON AMEACHIA VIDEO NYINGINE AKIKATIKA AKIWA NUSU UTUPU ICHEKI HAPA.
Bilionea huyo anakabiliwa na tuhuma ya kumnyanyapaa, kumdhulumu, kumtesa, na kumjeruhi mhasibu wake ambaye jina lake linahifadhiwa kutokana na sababu za kiusalama Mei 2, mwaka jana.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment