Walikuwa wakibatizwa na mchungaji Nehemia Upendo wa kanisa la POOL of SILOAM.
Tuesday, August 5, 2014
Browse » Home »
Ajali
,
news
» WAWILI WAFA MAJI WAKIBATIZWA NA MAMA MCHUNGAJI WA KANISA LA POOL of SILOAM ZIWA VICTORIA.
WAWILI WAFA MAJI WAKIBATIZWA NA MAMA MCHUNGAJI WA KANISA LA POOL of SILOAM ZIWA VICTORIA.
Watu wawili wafariki kwenye Ziwa Victoria walipokuwa wanabatizwa huko mkoani Kagera
Walikuwa wakibatizwa na mchungaji Nehemia Upendo wa kanisa la POOL of SILOAM.
Polisi inafanya Uchunguzi wa taarifa zote kuhusiana na Tukio hilo na wakikamilisha basi Zitawekwa hadharani lakin baadhi ya watu waliohojiwa juu ya tukio hilo walisema Wamepewa ushirikiano Mbaya sana kutoka Kwa mchungaji Huyo.
Walikuwa wakibatizwa na mchungaji Nehemia Upendo wa kanisa la POOL of SILOAM.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment