Meno ya tembo yaliyopatikana kwa watuhumiwa.
Kamishna Kova akionyesha baadhi ya nyara walizozikamata.
WANAWAKE watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kujihusisha na mtandao haramu wa nyara za serikali. Watu hao walikamatwa Julai 23 mwaka huu huko Mbagala-Mission jijini Dar es Salaam baada ya jeshi hilo kupata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuwa eneo hilo kuna watu wanafanya biashara hiyo.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment