Thursday, August 21, 2014

UNAAMBIWA DEVOTA YU MBIONI KURITHI MIKOBA YA MTITU.





BAADA ya hivi karibuni Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu kutangaza kujiuzulu na kuiacha nafasi hiyo wazi, Katibu Msaidizi, Devota Mbaga amefunguka kuwa anajiandaa kushika nafasi na kwamba kujiuzulu kwake hakusaidii chochote kwani wanachama wanahitaji fedha.

Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Devota Mbaga.

American journalist James Foley beheaded by 'British' jihadist in horrific Islamic State video.


Akistorisha na paparazi wetu Devota alisema hatua ya Mtitu kujiuzulu haisaidii kitu, wanachama wanahitaji fedha ambazo wamekula kwani alitangaza kujiuzulu baada ya kuambiwa aweke mezani fedha walizokula.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effects, William J. Mtitu akitabasamu ndani ya studio za Global TV Online.

Angalia hapa Video Tamu na Mpya Kabisa ya Nicki Minaj ANAKONDA.

“Najiandaa kushika wadhifa huo kufuatia Mtitu kuachia nafasi baada ya kuambiwa aweke mezani fedha walizokula, amefanya hivyo, ili aonekane msafi arudishe fedha au aje awaombe msamaha wanachama,” alisema Devota.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

HATIMAYE DADA ETU AGNES MASOGANGE APATIWA RASMI PASSPORT YA KUISHI SOUTH.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top