Saturday, August 16, 2014

MCHUMBA AMSAKA JACK DUSTAN ALIYEYEYUKIA CHINA MIAKA MIWILI SASA TANGU AMVALISHE PETE .


MCHUMBA wa aliyekuwa mshiriki wa Shindano la Maisha Plus (Season 2), Jack Dustan, Hamisi Ally ameibuka na kusema anamsaka mchumba wake huyo aliyepotea kwa takriban mwaka mzima tangu amvalishe pete ya uchumba.

Akizungumza na mwandishi wetu, Hamisi alisema kuwa alitarajia kuwa mpaka sasa wangekuwa wameshafunga ndoa lakini ghafla akasikia mchumba wake ametimka Bongo hivyo ndoto yake kuzimika.

Boko Haram kidnaps 100 young men in Borno Yesterday of Thursday, August 14, 2014.



“Yaani kwa kweli nimeumia ndoto yangu kutoweza kukamilika toka mwaka jana, nampenda sana Jack na nilitamani awe mke wangu, nimesiki yupo China bora anirudishie pete yangu, la sivyo nitaendelea kumsaka hadi kieleweke,” alisema Hamisi.

BABY MADAHA APONEA CHUPU CHUPU KUBAKWA.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU PICHA NA VIDEO ZA SHILOLE AKIWA MZIWANDA KITANDANI ZAVUJA MTANDAONI, JIONEE MWENYEWE HAPA.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top