Saturday, August 16, 2014

JIDE NAE AJIBU MAPIGO HUKO INSTAGRAM KUONESHA NDOA YAO IKO MMMWAAAAAA!!!.


Jana kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM Jide aliweka picha hii ikionyesha mkono wake na pete ya harusi yao na kuandika” Kucha zimekosa rangi ya OriFlame tu, ili zing'ae zaidi ya hapo”

Wadau wengi ambao ni followers wake walimuelewa Jide alikuwa anamaanisha nini.. kitu ambacho kilitafsiliwa kuwa ni kuonyesha kuwa wenyewe bado ni wanadoa na hizo ni changamoto tu za ndoa kwahiyo watu wasishadadie sana ….. soma baadhi ya comments hapo chini:

BABY MADAHA APONEA CHUPU CHUPU KUBAKWA.





HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU (+18)DENTI WA CHUO AVUJISHIWA PICHA ZA UTUPU, BAADA YA KUJISAHAU NA KUMPA JAMAA FLASH YENYE GROUP WORK.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top