
Mwigizaji wa filamu Bongo, 'Aunty Lulu'.
“Mimi sina tena kinyongo na Wastara, vile nilikuwa namfanyia tu vituko, lakini kwa sasa asiniogope wala asiwe na wasiwasi na mimi, nimeshaachana na Bond japokuwa tulitoka mbali sana na hakuna wanamke anayemjua kama mimi, siku ya harusi yao nitacheza mpaka asubuhi,”alisema Aunty Lulu.

Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma akiwa na muigizaji mwenzake 'Bond'.
Alisema kwa sasa hana kinyongo na Wastara na amebariki uhusiano wao wa kimapenzi.


0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment