Muigizaji mkongwe nchini, Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small amefariki dunia usiku huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar. Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa presha baada ya kuugua kwa muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na kupelekwa Muhimbili. Mtoto wa

MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN!
Kutoka kushoto ni Mhariri wa Championi Jumatano, Phillip Nkini, Mzee Small enzi za uhai wake, Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally na Mwandishi wa Championi, Hans Mloli wakielekeq nyumbani kwa Mzee Small.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment