waoh they look georgious with their frendship, wamekutana hapo panya wawili full kuchekeshana haha, so good for them, kwa sasa mastaa hao wawili lulu michael na joti mdebwedo wapo pande za mbeya kwenye shindano la kusaka vipaji vya wasanii wa uigizaji wa filamu, To them so lovely watu na mashabiki wanatamani watu hao wangekuwa couples lakini ndo hivyo ni freinds, n basi wangekuwa couples hakuna ambaye angebisha mahusiano yao yangefananishwa kama ya mastaa wa mbele beyonce na jayz.

0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment