Monday, April 14, 2014

Baby Madaha ajitenga na wasanii wenzake wa Bongo Movie.

Msanii wa filamu na muziki Bongo, Baby Madaha.
MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema anashindwa kumtathimini msanii wa filamu na muziki Bongo, Baby Madaha kutokana na kujitenga na wasanii wenzake.

Akifafanua kauli yake, Steve alisema mwanadada huyo anamshangaza sababu hajui yupo kundi lipi kwa kuwa kwenye Bongo Movie hayupo na wala hana kadi ya chama chochote akiwa kama msanii na mbaya zaidi hajitokezi kujumuika na wenzake.“Hana kadi ya chama chochote na isitoshe anajitenga na wasanii wenzie, hahudhurii kwenye shughuli yoyote ile iwePaparazi wetu alipomtafuta Baby Madaha kuzungumzia ishu hiyo alisema ana mambo mengi ya kufanya ndiyo maana huwa hashirikiani na wenzake, akipata nafasi atahudhuria.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online