Sunday, March 9, 2014

Mshikaji atembezwa uchi mitaani baada ya kufumwa na mke wa mtu.

unaambiwa mke wa mtu sumu baadhi ya wanaume bado hawaamini kama huyu aliyebabwa na camera yetu akizungushwa mtaaani uch wa mnyama baada ya kufumwa akiwa anaponjoka na mke wa mtu.

Yakikukuta ndo uta jua ila tahadhari Mke wa Mtu nomaaa.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top