Sunday, March 23, 2014

Mcheki Rihanna alivyokuwa mwaka 2005 na alivyo sasa kweli pesa inamwaribu mtu.

Unaambiwa huyu ndiye mdada mwanamuziki mwenye mvuto kuliko wote huko Marekani kwani na katika shoo zake watu hufurika mbaya.


Mavazi yake ni mvuto mwingine jichekie mwenyewe vazi hili akiwa kwenye shoo.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top