Wednesday, March 26, 2014

Mboto::Sijawahi kutembea wala kulala na msanii yeyote.


Mkali wa komedi Bongo, Haji Salum ‘Mboto’.
 Akistorisha na Stori Mix, Mboto alisema: “Ni nadhiri niliyojiwekea tangu naanza fani hii. Kamwe siwezi kutoka na msanii mwenzangu. Unajua unapofanya kazi na mtu, anakuwa kama ndugu yako, isitoshe utakapoingiza tu mambo ya mapenzi, hata kazi inaharibika.

“Hao wanaofanya hivyo, wana vipaji vyao bhana, maana mimi naamini kila mtu ana kipaji chake – wengine wana vipaji vya mapenzi. Hata kama mpenzi wangu yupo mbali na anasafiri kila mara, hainifanyi nimsaliti.”
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top