Friday, February 14, 2014

Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa amechukua fomu leo.



Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Iringa, Pedenciana Kisaka akimkabidhi fomu za
uteuzi za kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga, Mgombea wa CCM Godfrey Mgimwa leo



 Godfrey Mgimwa (wa pili kushoto) akisindikizwa na wana CCM wenzake kwenda kuchukua fomu za kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga kwa Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Iringa
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online