Akiongea na kipindi cha Milazo XP kinachorushwa na TBC fm, Afande Selle, mbali na kuunga mkono pia alizungumzia umuhimu wa bangi kama zao linaloweza pia kuwa na manufaa kwa uchumi wa nchi kama litatumiwa kwa usahihi.
Sunday, February 2, 2014
Browse » Home »
udaku
» Mbunge Mtarajiwa wa Moro Mjini Afande sele aunga kauli ya Obama kuwa Bangi haina madhara.
Mbunge Mtarajiwa wa Moro Mjini Afande sele aunga kauli ya Obama kuwa Bangi haina madhara.
Afande Sele ameungana na Rais wa Marekani Barack Obama katika
kuunga mkono kauli yake ya kwamba bangi ni salama kuliko pombe kwa afya
ya binadamu.
Akiongea na kipindi cha Milazo XP kinachorushwa na TBC fm, Afande Selle, mbali na kuunga mkono pia alizungumzia umuhimu wa bangi kama zao linaloweza pia kuwa na manufaa kwa uchumi wa nchi kama litatumiwa kwa usahihi.
Akiongea na kipindi cha Milazo XP kinachorushwa na TBC fm, Afande Selle, mbali na kuunga mkono pia alizungumzia umuhimu wa bangi kama zao linaloweza pia kuwa na manufaa kwa uchumi wa nchi kama litatumiwa kwa usahihi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment