KULWA Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa wasanii wengi wanaojiingiza kwenye tasnia hiyo wanakuwa ni wadada waliokuwa wakijiuza barabarani kama maeneo ya Baa ya Kimboka iliyopo Buguruni, jijini Dar.
Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Dude alisema ameshawahi kukutana na wasanii wengi ambao wanataka kujiingiza kwenye tasnia hiyo na wako tayari kutoa miili yao ili waweze kuonekana kwenye runingani.



0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment