Monday, February 10, 2014

Dude; Wasani wengi wa Filamu wanatokea kwenye Uchangudoa ndo maana wanamadili ya kichangu.

“Yaani msanii unakuta ameshapata jina lakini alipotokea mpaka kuibuka kisanii utashangaa kabisa na ndiyo maana hata tabia zao huwa zinafanana kabisa na wale wadada wanaojiuza,” alisema Dude.

 KULWA Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa wasanii wengi wanaojiingiza kwenye tasnia hiyo wanakuwa ni wadada waliokuwa wakijiuza barabarani kama maeneo ya Baa ya Kimboka iliyopo Buguruni, jijini Dar.
Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Dude alisema ameshawahi kukutana na wasanii wengi ambao wanataka kujiingiza kwenye tasnia hiyo na wako tayari kutoa miili yao ili waweze kuonekana kwenye runingani.
  
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top