Tuesday, January 14, 2014

Video na maelezo ya Boyfriend wa Cliff akihojiwa juu ya nn waliongea na Jackie Cliff aliyenasa china .


Ndani ya wiki moja iliyopita Balozi wa Tanzania nchini China aliongea Exclusive na millardayo.com na kuthibitisha kwamba hajawahi kupokea taarifa kutoka gereza lolote la China juu ya kukamatwa na dawa za kulevya kwa Mtanzania, mrembo ambae amekua akitokea kwenye video kadhaa za bongofleva “Jackie Patrick Cliff’
Maelezo yake yalifanya kuwe na maswali zaidi manake kila mmoja alikua anajiuliza atakua wapi Mtanzania huyu baada ya taarifa kusambaa kwenye vyombo vya habari Tanzania kwamba kakamatwa huko Macao?


Boyfriend wake ambae ni msanii wa bongofleva Jux ameongea kwenye Exclusive interview na millardayo.com Jan 13 2014 saa kadhaa baada ya kuweka post ambayo ilionyesha wamewasiliana muda mfupi uliopita.

Baadhi ya maswali aliyoyajibu kwenye video hapa chini ni pamoja na Wameongea lini mara ya mwisho? Jack anasemaje? Jack alikua wapi wakati wanaongea? yuko nchi gani? anarudi lini bongo? na mengine.
Video yenyewe hii hapa:

Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top