Mama wa mpenzi wa zamani wa Lulu, Steven Kanumba amefanyiwa Surprize na Elizabeth Michael yaani Lulu baada ya kumlisha keki juzi ambapo ni siku ya birth day ya mama huyo.
“Yaani mama Kanumba alikuwa hajui kuwa Lulu anajua siku yake ya kuzaliwa, Lulu akatumia nafasi hiyo kumfanyia ‘sapraizi’,” alisema rafiki wa karibu wa Lulu aliyeomba hifadhi ya jina lake.
Niliamua kumfurahisha kwa sababu ni siku yake ya kuzaliwa na sikufanya kwa sababu mwanaye hayupo, hata angekuwepo ningemfanyia tu.
Hapa ni mama Kanumba Na mama Lulu nao wakilishana vipande vya keki hiyo.
source:GPL
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment