Friday, January 10, 2014

Lulu amfanyia surprise mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba


Mama wa mpenzi wa zamani wa Lulu, Steven Kanumba amefanyiwa Surprize na Elizabeth Michael yaani Lulu baada ya kumlisha keki juzi ambapo ni siku ya birth day ya mama huyo.

“Yaani mama Kanumba alikuwa hajui kuwa Lulu anajua siku yake ya kuzaliwa, Lulu akatumia nafasi hiyo kumfanyia ‘sapraizi’,” alisema rafiki wa karibu wa Lulu aliyeomba hifadhi ya jina lake.
 

Niliamua kumfurahisha kwa sababu ni siku yake ya kuzaliwa na sikufanya kwa sababu mwanaye hayupo, hata angekuwepo ningemfanyia tu.

 Hapa ni mama Kanumba Na mama Lulu nao wakilishana vipande vya keki hiyo.
source:GPL

Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top