Thursday, January 16, 2014

Happy Birthday TO YUUUUU! Ona jinsi H.Baba na mkeo Florah Mvungi walivyosherekea siku ya kuzaliwa.

 H.Baba na mke wake, Florah Mvungi wakilishana keki.


H.Baba akimlisha keki mama yake.

Florah Mvungi akiwa na mtoto wake Tanzanite. 


 Florah Mvungi  akiwa ameshika keki ya bethidei.

Jana tarehe mtu mzima H.Baba msanii kutoka kule Mwanza alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa na familia yake nikimaanisha mke wake na mtoto wao mpya anaitwa Tanzanite pamoja na mama mzazi wa HBaba na wadogo zake wa mwisho.
 Hizi ni baadhi ya picha tu wakiwa pamoja wakila keki kwa pamoja.

Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top