H.Baba na mke wake, Florah Mvungi wakilishana keki.
H.Baba akimlisha keki mama yake.

Jana tarehe mtu mzima H.Baba msanii kutoka
kule Mwanza alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa na familia yake
nikimaanisha mke wake na mtoto wao mpya anaitwa Tanzanite pamoja na mama
mzazi wa HBaba na wadogo zake wa mwisho.
Hizi ni baadhi ya picha tu
wakiwa pamoja wakila keki kwa pamoja.






0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment