Friday, January 17, 2014

STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper atambulisha bwana mpyaaaaa.

STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kumuweka bayana mchumba wake wa sasa anayejulikana kwa jina la G. Modo baada ya kukaa kimya muda mrefu tangu alipoachana na Abdallah Mtoro ‘Dallas’.
Akizunhumza na ijumaa hivi karibuni amesema alikuwa kimya kwa mda kutafakari kwani asingeweza kukurupuka bila kuchunguza tabia ya mpenziwe.


Hayo yamekuja baada ya kuachana na mchumba ake wa zamani Dallas.

Amesema anafurahia sana mpenzi wake wa sasa na anaomba mungu awajalie waweze tambulishana kwa wazazi na hatimaye kufunga pingu za maisha.

Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top