Akizunhumza na ijumaa hivi karibuni amesema alikuwa kimya kwa mda kutafakari kwani asingeweza kukurupuka bila kuchunguza tabia ya mpenziwe.
Hayo yamekuja baada ya kuachana na mchumba ake wa zamani Dallas.
Amesema anafurahia sana mpenzi wake wa sasa na anaomba mungu awajalie waweze tambulishana kwa wazazi na hatimaye kufunga pingu za maisha.



0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment