Wednesday, September 10, 2014

VIDEO YA TAMKO LA MASHEIKH KUFUATIA MADAI YA KUDHALILISHWA KWA WATUHUMIWA WA UGAIDI NCHINI TANZANIA.


Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Ramadhani Sanze akisisitiza jambo.


Viongozi wa Jumuiya na Taasisi mbalimbali za dini ya Kiislam wakiwa katika mkutano huo.


Sheikh Ally Baswalehe akisikiliza swali.

JUMUIYA na Taasisi za Kiislam nchini, jana Septemba 9, mwaka huu zilitoa tamko kuhusiana na vitendo vya kudhalilisha walivyofanyiwa masheikh wanaotuhumiwa kwa ugaidi.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top