Saturday, February 8, 2014

Diva amfanyia Surprise Adam Mchomvu kwa zawadi siku ya VALENTINE .


Watangazaji maarufu  wa redio ya watu clouds fm wanao famoka kwamajina Adamu mchomvu na Diva Lovenes love wanaone kana kwenye picha wame kuwa wahamasishaji wakubwa kwa watu kutoa zawadi kwa wapenzi wao kipindi hichi hasa siku ya valentine hasa wakiwa kwenye vipindi vyao.Ndipo Diva kumpa zawadi ya wimbo wa oooh baby kwa mchomvu katika kipindi chake {dedication to AD PLUs}...nakutoa za wadi kwako kwaku kuendelea kukupa tips za valentime  kilasiku mpaka tareh 14'2'2014.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top